Pages

Wednesday, 25 February 2015

CRISTIANO RONALDO AMEINGIA KWENYE MGOGORO WA KIBIASHARA NA KAMPUNI YA NIKE

Cristiano Ronaldo ameingia kwenye mgogoro na kampuni ya Nike inayomlipa kiasi cha zaidi ya billioni 10 za kitanzania kwa mwaka kwa kuwatangazia bidhaa zao - baada ya mshambuliaji huyo kuanza kuuza bidhaa za nembo ya CR7 ambazo zinaingiliana na bidhaa za Nike. - Nike wamemwambia Ronaldo aache kuuza viatu vya mazoezi vya nembo ya CR7 au atapoteza mkataba wake na kampuni hiyo.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates