Pages

Tuesday, 10 March 2015

LIGI YA ITALIA: POGBA AING'ARISHA JUVE IKISHINDA 1-0 DHIDI YA SASSUOLO SASA POINTI 11 KILELENI

BAO la Dakika ya 82 la Paul Pogba limewapa ushindi wa Bao 1-0 Mabingwa Watetezi Juventus walipoichapa Sassuolo Bao 1-0 kwenye Mechi ya Ligi Serie A Uwanjani Juventus Arena Jijini Turi huko Italy na kuwapaisha Juve Pointi 11 mbele kileleni mwa Ligi hiyo.
Jumapili, AS Roma, Timu ya Pili kwenye Msimamo wa Serie A, ilitoka Sare 0-0 Ugenini na Chievo Verona katika Mechi iliyochezwa huko Stadio Marc'Antonio Bentegodi Mjini Verona.
SOURCE: SOKA IN TANZANIA
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates