
Mbali na Suarez wachezaji wengine ambao wameffunga katika mchezo huo ni pamoja na Nyota wa Argentina Lionel Messi, Taa ya Brazil kwa sasa Neymar, Ivan Rakitic pamoja na Gerard Pique.
Matokeo hayo yanaifanya Barcelona izidi kujikita kileleni mwa ligi hiyo huku wakizidi kumkimbia mpinzani wao Real Madrid ambao pia leo wameshinda 3-2 dhidi ya Sevilla.
0 comments:
Post a Comment