Pages

Friday, 20 February 2015

BUNDESLIGA-DORTMUND WAENDELEA KUCHECHEMEA WASHINDA 3-2 DHIDI YA STUTTGART

Borussia Dortmund wameendelea kujinusuru kwenye Bundesliga baada ya kuwa na wasiwasi wa kushushwa Daraja na kuelendelea kupanda juu kwenye Msimamo wa Ligi hiyo ya Ujerumani baada ya Jana kuifunga Ugenini Bao 3-2 Stuttgart.
Mchezaji wa Gabon Pierre-Emerick Aubameyang ndie aliwafungia Bao la kwanza kufuatia Pasi ya Shinji Kagawa lakini Stuttgart wakasawazisha kwa Bao la Penati la Florian Klein iliyotolewa kufuatia Nuri Sahin kumwangusha Georg Niedermeier.
Dortmund walikwenda mbele Bao 3-1 kwa Bao za Ilkay Gundogan na Marco Reus lakini Sttugart walikomboa Bao moja katika Dakika za mwishoni.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates