Pages

Saturday, 28 February 2015

CHEKA KUREJEA URAIANI FAMILIA YAKE YAPANGA KUKATA RUFAA

Huwenda bondia Fransic Cheka akarejea uraiani endapo rufaa yake kwa sababu ndugu na jamaa wa familia ya cheka wapo katika mchakato wa kumkatia rufaa bondia huyo wa ngumi za kulipwa nchini, bado unaendelea ambapo kwa sasa faili la hukumu ya kesi yake linatarajia kupelekwa Daresalaam katika Mahakama ya Rufaa siku yoyote.
Bondia huyo alihukumiwa kifungo cha miaka mitatu baada ya kupatikana na hatia ya shambulio la kudhuru mwili dhidi ya meneja wa baa yake, Bahati Kibanda, lililofanyika Julai 2, mwaka jana.
Mmoja wanafamilia ya Cheka amesema mchakato wa kumkatia rufaa unaendelea vizuri na tayari Mwanasheria aliyeteuliwa ameeleza kuwa cha msingi kumuomba mungu huwenda mambo yakafanikiwa
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates