Pages

Thursday, 26 February 2015

CHID BENZI AFUNGWA JELA MIAKA MIWILI

Msanii hip hop, Rashid Makwiro 'Chid Benz' amehukumiwa miaka miwili kwenda jela.

Hukumu hiyo imetolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu jijini Dar es Salaam ambako kesi yake ya kukamatwa na madawa ya kulevya ilikuwa inasikilizwa.
Hukumu ilikuwa ni adhabu ya miaka miwili jela au kulipa faini ya Sh 9,000,000 ambayo aliilipa baada ya watu wake kujitokeza na kukamilisha hilo na sasa Chid Benz.
Kesi yake hiyo iliyoendeshwa kwa wiki kadhaa, ilitokana na msanii huyo kukamatwa na madawa ya kulevya kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere akiwa njiani kwenda mjini Mbeya kwa ajili ya shoo.
Chid Benz alikiri madawa aliyokamatwa nayo kwenye mfuko wa shati yalikuwa yake.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates