Pages

Friday, 27 February 2015

YANGA KUANZA KUPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA LEO UGENINI NA BDF SAA MBILI USIKU

Yanga Leo hii wapo huko Gaborone, Botswana kuanza matumaini ya Kabu 4 za Tanzania kuvuka Raundi ya Awali ya michuano ya Afrika watakapocheza na Timu ya Jeshi la Nchi hiyo BDF XI ikiwa ni Mechi ya Pili ya Raundi ya Awali ya Mashindano ya CAF ya Kombe la Shirikisho.
Yanga walishinda Mechi ya kwanza Jijini Dar es Salaam Bao 2-0.
Jumamosi Timu nyingine mbili za Tanzania, Azam FC na KMKM, zitakuwa Viwanjani kwenye Mechi zao za Pili za Raundi ya Awali ya CAF CHAMPIONS LIGI wakati Polisi ya Zanzibar itacheza Mechi yake ya Pili ya Raundi ya Awali ya Mashindano ya CAF ya Kombe la Shirikisho hapo Jumapili.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates