Pages

Saturday, 28 February 2015

LEO NI ZAMU YA AZAM NA EL MERIKH HUKO SUDAN SAA 2 USIKU MECHI KUONYESHWA NA AZAM TV

Mabingwa wa Tanzania bara wana Lambalamba Azam Fc wataingia dimbani leo kumenyana na mabingwa wa Sudan El Mereikh katika mchwezo wa hatua ya awali ya ligi ya Mabingwa Barani Afrika.

Mechi hiyo ya marudiano itaanza kuanzia majira ya saa 2 kamili Usiku kwa saa za Afrika Mashariki na kurushwa live na Azam Tv

Kikosi kamili cha mabingwa hao wa Tanzania kimeongezewa nguvu na uwepo wa naibu waziri wa michezo Mheshimiwa Juma Nkamia ambaye amesafiri mpaka Sudani kuwapa supoti wachezaji hao


Jana kikosi kamili cha kocha Patrick Omog kilifanya mazoezi ya mwisho katika uwanja ambao utapigwa mchezo huo leo.

Azam wataingia katika mchezo wa leo wakiwa na kumbukumbu nzuri ya ushindi wa bao 2-0 walioupata wiki mbili zilizopita jijini Dar es Salaam.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates