Pages

Monday, 23 February 2015

LIGI KUU UINGEREZA- LIVERPOOL YASHINDA 2-0 DHID YA SOUTHAMPTON BADO WAPO NJE YA NNE BORA

Bao 2 za Philippe Coutinho na Raheem Sterling zimewapa ushindi wa Ugenini Liverpool wa Bao 2-0 walipoichapa Southampton na kupaa hadi Nafasi ya 6 katika Msimamo wa Ligi Kuu England.
Ushindi huo umeifanya Liverpool, ambao ndio Timu pekee haijafungwa kwenye Ligi Mwaka huu 2015, wawe Pointi 2 tu nyuma ya Timu ya 4 Manchester United ambazo ndio huanzia Nafasi za kucheza UEFA CHAMPIONZ LIGI Msimu ujao.
MATOKEO YA MECHI NYINGINE ZA JANA
Tottenham 2 West Ham 2 
Everton 2 Leicester 2   
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates