Pages

Monday, 23 February 2015

LA LIGA:RONALDO NA BENZEMA WAIBEBA REAL MADRID IKISHINDA UGENINI 2-0 DHIDI YA ELCHE

Cristiano Ronaldo Jana Usiku alipiga Bao moja na kuipaisha Real Madrid kileleni mwa La Liga wakiwa Pointi 4 mbele ya Timu ya Pili Barcelona baada ya kuifunga Ugenini Elche Bao 2-0.
Bao zote za Real zilifungwa Kipindi cha Pili na la kwanza kupitia Karim Benzema na Ronaldo kupiga Bao la Pili kwa Kichwa.
Bao hilo la Ronaldo limemfanya afikishe Bao 290 kwa Real Madrid na kumuweka Nafasi ya 3 katika Ufungaji Bora katika Historia ya Klabu hiyo akiwa Bao 33 nyuma ya Mfungaji Bora Raul mwenye Mabao 323 huku Nafasi ya Pili ikishikwa na Alfredo Di Stefano mwenye Bao 305.
Hapo Jana, Barcelona waliikosa Nafasi ya kuipiku Real uongozi wa La Liga kwa muda baada ya kuchapwa 1-0 na Malaga tena wakiwa kwao Nou Camp.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates