Azam fc jana imeshindwa kuutumia vyema uwanja wake wa nyumbani baada ya kutoka sare ya bila kufungana na Tanzania prison katika mchezo uliochezwa usiku katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam,.
Kwa matokeo hayoSasa imefikisha pointi 27 baada ya mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara huku ikkiendelea kushika nafasi ya pili
Yanga inaendelea kuongoza ikiwa na pointi nne zaidi ya Azam FC ikiwa ni baada ya kuitwanga Mbeya City kwa mabao 3-1.
Azam imecheza mechi 15, imeshinda saba, sare sita na wamepoteza mbili.








0 comments:
Post a Comment