Pages

Sunday, 22 February 2015

YANGA UTAIPENDA TU YAIUA MBEYA CITY 3-1 SIMBA ANG'OLEWA MENO NA STAND ATANDIKWA 1-0

Timu ya Yanga leo imejiimarisha zaidi kwenye msimamo wa ligi kuu tanzania bara, baada ya leo kuwababua Mbeya city magoli 3-1 leo katika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya magoli hayo yamefungwa na washambuliaji ya
afrika,Bao la kwanza likifungwa na mshambuliaji mwenye kasi uwanjani Simoni Msuva la pili Mrisho Ngasa katika kipindi cha kwanza nagoli la tatu likifungwa na mshambuliaji Hamisi Tambwe dakika ya 78.
Goli kufutia machozi la mbeya city limefungwa na Peter Mapunda dakika ya 69.
Nao Simba sports club leo imeshindwa kutamba mbele ya Stand United mara baada ya kukubali kipigo cha goli 1-0 katika mchezo uliochezwa katika dimba la Kambarage mjini shinyanga
Goli pekee la Stand limefungwa na  Abas Chidiebere dakika ya 11 ya mchezo huku mchezo huo ukishuhudiwa kadi mbili nyekundu kwa wachezaji wa Stand,Abuu Ubwa naYassin Mustapha kwa kumchezea rafu hatarishi Banda.
Kwa matokeo hayo Simba inabaki nafasi ya 4 huku stand




Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates