Pages

Saturday, 21 February 2015

BUNDESLIGA- BAYEN NA HATARI! YAITANDIKA PADEBORN GOLI 6-0

MABINGWA wa Germany, Bayern Munich,
 wameitandika Paderborn Bao 6-0 katika Mechi waliyocheza Ugenini na kupaa Pointi 11 kileleni mbele ya Timu ya Pili Wolfsburg.
Hadi Mapumziko, Bayern walikuwa mbele 2-0 kwa Bao 2 za Robert Lewandowski na Kipindi cha Pili Paderborn walipata balaa baada ya kutoa Penati iliyompa Kadi Nyekundu Mchezaji wao Florian Hartherz na Arjen Robben kufunga Penati hiyo katika Dakika ya 62.
Bao nyingine za Bayern zilipigwa na Franck Ribery, Mitchell Weiser na Arjen Robben.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates