Pages

Tuesday, 24 March 2015

KESHO MCHEZO MMOJA TU LIGI KUU TANZANIA BARA YANGA KUWAWINDA JKT RUVU TAIFA

LIGI Kuu ya Vodacom Tanzania Bara ianatrajiwa kuendelea kesho (jumatano) kwa mchezo mmoja kupigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, kwa wenyeji JKT Ruvu kuwakaribisha vinara wa ligi hiyo timu ya Yanga SC.

Yanga SC itahitaji ushindi katika mchezo huo, ili kuzidi kupiga kasi katika marathoni ya ubingwa wa Ligi Kuu.
A
Hadi sasa, ikiwa na pointi 37 baada ya kucheza mechi 18, Yanga SC ipo kileleni mwa Ligi Kuu, ikifuatiwa na mabingwa watetezi, Azam FC wenye pointi 36 za mechi 18 pia.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates