Mechi
ya keshokutwa ni ya sita inayokamilisha misimu mitatu kamili kwa kuwa kila
msimu, timu hizo zinakutana mara mbili.
Takwimu
zinaonyesha hivi, katika mechi tano za misimu mitatu zilizokutana timu hizo,
Yanga imeshinda mara moja na sare nne.
Simba
ina kazi hiyo ya kulipa kisasi cha ubabe wa Ligi Kuu Bara kwa kuwa Yanga
angalau wanaongoza kwa kuwa na ushindi mmoja uliowapa pointi tatu.
Ndani
ya misimu mitatu, Simba haijawahi kuifunga Yanga katika Ligi Kuu Bara, huenda
keshokutwa wanaweza kubadilisha mambo.
MECHI 5 ZILIZOPITA ZA MISIMU MITATU:
Yanga
1-1 Simba
Simba
0-2 Yanga
Simba 3-3 Yanga
Yanga
1-1 Simba
Yanga
0-0 Simba
MABAO
YA KUFUNGA:
Simba
5
Yanga
7
MECHI
5:
Yanga
(Shinda 1, Sare 4, Poteza 0)
Simba
(Shinda 0, Sare 4, Poteza 1)
SOURCE: SALEH JEMBE
0 comments:
Post a Comment