Pages

Saturday, 21 March 2015

LIGI KUU TANZANIA LEO NDANDA NA JKT RUVU HUKO TANGA FULL MVUA KOCHA WA YANGA AHOFIA KABLA YA KUWAVAA MGAMBO


Mvua inayoendelea kunyesha mjini Tanga inaonyesha kumpa hofu Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm.
Yanga inashuka dimbani leo kuwavaa Mgambo Shooting kwenye Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga.

Pluijm amesema anaingia hofu kabla ya kuivaa Mgambo Shooting kwenye Uwanja wa Mkwakwani leo kwa kuwa uwanja utakuwa kikwazo.

"Jana tulilazimika kusitisha mazoezi kutokana na mvua. Sasa leo imenyesha usiku wote na inaendelea. Kidogo inanitisha.

"Lakini sisi ni timu, tutalifanyia kazi suala hilo na kujua nini cha kufanya," alisema.

Jana, Yanga ilifanya mazoezi kwa dakika 40 kabla ya kusitisha kutokana na mvua kubwa kunyesha wakiwa mazoezi kwenye Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates