Pages

Saturday, 21 March 2015

YANGA YAITANDIKA MGAMBO 2-0 HUKU NDANDA IKILAZIMISHWA SARE NYUMBANI NA JKT RUVU KESHO SIMBA NA AZAM WOTE DIMBANI

Yanga Leo wakiwa ugenini Uwanja wa mkwakwani Tanga  wameichapa Mgambo shooting magoli 2-0 na kuwaacha zaidi Mabingwa Watetezi Azam FC wakijiimarisha kileleni na kukamata hatamu ya Ligi Kuu Vodacom.
Bao za Yanga hii Leo zilifungwa na Simon Msuva dk 77 baada ya purukushani katika lango la Mgambo  na goli la pili ilikuwa  dk 83 Tambwe alipoifungia Yanga bonge la bao kwa kichwa baada ya krosi ya Msuva  
Hapa Mtwara katika uwanja wa  Nangwanda sijaona , wana wa kukaya NDANDA FC wametoa sare tasa yabila kufungana walipoikaribisha JKT RUVU kutoka mkoani pwani
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates