Pages

Monday, 2 March 2015

RASMI AZAM YAMTIMUA KOCHA OMOG NA MSAIDIZI WAKE SASA TIMU KUONGOZWA GEORGE BEST

Azam FC imetangaza kumfukuza kazi Kocha Joseph Omog raia wa Cameroon.
Pamoja na Omog, Msaidizi wake, Ibrahim Shikanda ametimuliwa na mikoba amepewa George Best Nsimbe raia wa Uganda ambaye ni msaidizi wake namba moja.
Best ambaye ameanza kazi Azam FC msimu uliopita, sasa ndiye ataongoza jahazi.
Ingawa uongozi wa Azam FC haujaanika kila kitu, lakini inaonekana Omog anaondoka baada ya Azam FC kutolewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kufungwa mabao jumla ya mabao 3-2.
Azam FC ilianza kwa kushinda 2-0 jijini Dar lakini ikakubali kipigo cha mabao 3-0 jijini Kharthoum.
Omog ndiye aliyeipa Azam FC ubingwa wake wa kwanza wa Ligi Kuu Bara na ushindi wake wa kwanza katika Ligi ya Mabingwa Afrika .
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates