Pages

Tuesday, 7 April 2015

KUELEKEA MECHI YA TAIFA STARS NA BARCELONA PATRIK KLUIVERT KUTUA BONGO NA UJUMBE WA KUTOWAUA ALBINO MKALI MWINGINE AWASILI LEO

Legendari wa Timu ya Barcelona (1998-2004) na timu ya taifa ya Uholanzi Atatua tanzania muda wowote tayari kwa ajili ya mchezo na wachezaji wa zamani wa tanzania na wale wa barcelona utakaohamasisha kuacha mauaji ya albino
katika ukurasa wake wa twitter Kluvert ameandika

"On my way to Tanzania to Play a match Barcelona Legends vs Legends of Tanzania AND to help the Albino's from this horrible situation"
Wakati Kluivert akisubiriwa Luis Javier GarcĂ­a Sanz kati ya mwaka 1994 hadi 1997 alicheza timu ya vijana ya Barcelona na baadae kucheza timu kama Liverpool,Althetico Madrid na nyingine nyingi. Hadi sasa ameshinda magoli 136 na bado anaendelea kucheza soka na timu ya Atletico Kolkata huko India. amewasili leo hii  na yupo tayari kwa ajili ya mechi ya magwiji dhidi ya Taifa stars 
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates