Pages

Thursday, 2 April 2015

MASHABIKI WA YANGA WAWASILI ZIMBWABWE MCHNA HUU KUANZA SAFARI YA BULAWAYO

Basi lililobeba mashabiki wa Yanga wanaokwenda kuishangilia timu yao keshokutwa, tayari limewasili nchini Zimbabwe.
Tayari wamechawasili kwenye mpaka wa Zimbabwe leo asubuhi na muda wowote watawasili nchini humo leo.
Hata hivyo, bado watakuwa na safari ndefu na wanatarajiwa kuwasili Harare leo mchana kabla ya kuanza safari nyingine ya kwenda Bulawayo ambako Yanga itapambana na FC Platinum katika mchezo wa pili wa Kombe la Shirikisho.
Mmoja wa mashabiki walio katika basi hilo amesema wamekuwa wakiendelea vizuri. Msafara wa basi hilo, pia yumo mzee wa Yanga, Ibrahim Akilimali ambaye ameungana na vijana kwenda kuwapa nguvu Yanga.
Yanga itashuka dimbani Jumamosi kuhakikisha inalinda ushindi wake wa mabao 5-1 ilioupata jijini Dar ili isonge mbele.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates