Pages

Thursday, 9 April 2015

TAIFA STARZ USO KWA USO NA NIGERIA KATIKA KUTAFUTA TIKETI AFCON 2017


Safari ya kusaka tiketi ya kucheza mataifa ya Afrika mwaka 2017,yatakayo fanyika nchini Gabon timu ya taifa Taifa stars wamewekwa kundi G sambamba na Nigeria pamoja na Misri.
Katika miaka ya hivi karibuni timu ya Taifa stars hawajawi kucheza na Nigeri katika michezo ya aina yoyote ile, wakati timu za taifa za vijana ya Nigeria imekuwa ikizisambaratisha timu za vijana za Tanzania kila wanapo kutana.

Kipindi cha Maximo na Jan Poulsein Taifa stars imewahi kucheza michezo ya kirafiki na Misri, ambapo katika michezo hiyo wamekuwa wakifungwa goli si chini ya 5.

Nigeria na Misri hawajashiriki michuano iliyopita ya mataifa ya Afrika ikiwa ni mara ya tatu mfululizo kwa Misri kuyakosa michuano hiyo mikubwa ya Afrika.


Group G: 
Nigeria, 
Egypt, 
Tanzania, 
Chad
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates