Pages

Friday, 27 February 2015

ANGALIA KUNDI AMBALO TAIFA STARS WAPO COSAFA

Timu ya taifa  ya Tanzania, Taifa stars imepangwa kwenye kundi A katika michuano ya kombe la COSAFA yanayotarajia kufanyika nchini Afrika kusini mwezi mei baadae.

Taifa stars wamepangwa sambamba na Zimbabwe, Lesotho na Namibia katika michuano hiyo ambayo aifa stars imealikwa kushiriki pamoja na Ghana.


Makundi ya michuano hiyo inayoshirikisha timu za taifa za kusini mwa Afrika yamepangwausiku huu, ambapo yamewekwa katika makundi mawili.

Vinara wa kila kundi wataingia hatua ya robo fainali ambapo watajumuika na timu nyingine sita ambazo ni Malawi, Zambia, Afrika kusini, Botswana, Ghana na Msumbiji.


MAKUNDI YA KOMBE LA COSAFA:

KUNDI A
A1 - Namibia
A2 - Lesotho
A3 - Zimbabwe
A4 - Tanzania

KUNDI B
B1 - Seychelles
B2 - Madagascar
B3 - Mauritius
B4 - Swaziland
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates