Pages

Friday, 27 February 2015

UMEISIKIA HII YA ZARKO LUDOVICIC MCHEZAJI ALIYETISHIWA BASTOLA BAADA YA KUKOSA PENATI

Mchezaji wa Serbia, Zarko Udovicic, alitishiwa kwa Bastola na Mashabiki wa Timu yake baada ya kukosa Penati kwenye Mechi ya Ligi Kuu Nchini humo kati ya Klabu yake Novi Pazar na FK Rad.
Habari hizi zimetangazwa na FIFPro, Chama cha Kutetea Haki za Wachezaji wa Kulipwa Duniani.
Zarko Udovicic, ambae ni Beki, alipaisha Penati yake katika Dakika ya 85 kwenye Mechi ambayo Wapinzani wao FK Rad walishinda Bao 1-0.
Siku mbili baada ya Mechi hiyo Washabiki wa Novi Pazar walitinga Mazoezini mwa Timu hiyo na kumtishia Mchezaji huyo kwa Bastola iliyogandamizwa Usoni mwake.
Hivi sasa imedaiwa Zarko Udovicic, mwenye Miaka 27, ameikimbia Klabu hiyo inayocheza Superliga huko Serbia.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates