Pages

Friday, 20 February 2015

CHEKI TOTTENHAM WANAVYOTAKA KUUFANYA UWANJA WAO WA WHITE HART LANE

Tottenham imepitisha kuanza kujenga Uwanja mpya wa White 

Hart Lane ambao utagharimu kitita cha pauni milioni 400.

Uwanja huo utakuwa na uwezo wa kuchukua watazamani 56,000
 
walioketi.

Awali kulikuwa a pingamizi mahakama kuu, lakini likatupwa na 

kutoa nafasi hiyo ya kuanza kujenga.

Kwa mujibu wa mtandao wa timu hiyo, uwanja huo unatarajiwa 

kuwa umekamilika na kuanza kutumika katika msimu wa 2018-19.



Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates