Pages

Saturday, 21 February 2015

PAMBANO GHALI LA NGUMI KUSHUHUDIWA MEI 2 FLOYD MYWEATHER VS PACQUIAO


Floyd Mayweather Junior atazichapa na Manny Pacquiao jijini Las Vegas  nchini Marekani Mei 2.

Hili ndilo litalikuwa pambano la ngumi ghali zaidi katika historia ya mchezo wa ngumi duniani.
Mmarekani Mayweather, 37, na Mfilipino Pacquiao, 36, wanaaminika ndiyo mabondia bora zaidi wa kizazi hiki kwa uzito wao.
Mayweather ni bingwa wa WBC na WBA kwa welterweight na Pacquiao anashikilia ubingwa wa  WBO.

Mayweather  hajawahi kupigwa katika mapambano yake yote 47 ya ngumi za kulipwa wakati Pacquiao ameshinda mapambano 57  ikiwa ni kumi zaidi ya Mayweather, lakini amepoteza matano katika yote 64 aliyocheza.
Pambano hilo kwa ujumla linatarajiwa kugharimu pauni milioni 162m au dola milioni 250.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates