Pages

Saturday, 28 February 2015

SIMBA YAOTA MENO YAMTAFUNA PRISON 5-0 TAIFA AJIBU APIGAHETRIKI,DABI YA TANGA COAST USHINDI DHIDI YA MGAMBO

Simba sports club leo imapata ushindi wa nguvu baada ya kuibua Tanzania prison jumla ya magoli 5 kwa bila ibrahim ajibu akifunga hattrik dakika ya 17,23 na 42 huku Emanuel okwi akitupia 1 dakika ya 75 nagoli jingine kufungwa na Ramadhani singano messi dakika ya 84
Kipindi cha pili, Simba imefanikiwa kufunga mabao mawili kupitia Emmanuel Okwi na Ramadhani Singano ‘Messi’.
Simba ingeweza kufunga zaidi ya mabao matatu lakini walipotea nafasi nyingi za kufunga.
Huu ndiyo ushindi mkubwa zaidi kwa Simba msimu huu.
Kwa matokeo hayo inabaki nafasi ya nne na pointi zake 23
Katika dabi ya tanga Coastal Union 1-0 Mgambo Jkt goli la coast likifungwa Yaya Kato Lutimba 90'
Mbeya city wamelazimishwa sare dhidi ya ruvu shooting huko Mbeya

Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates