Pages

Saturday, 7 March 2015

BAFETIMBI GOMIS MSHAMBULIAJI WA SWANSEA MWENYE MATATIZO YA KUZIMIA UWANJANI

Mshambuliaji wa kilabu ya Swansea Bafetimbi Gomis alianguka na kuzimia uwanjani, ikiwa ni kisa cha hivi karibuni cha mchezaji huyo ambaye amekuwa akikabiliwa na tatizo hilo mara kwa mara.
Swansea ilikuwa ikimenyana na kilabu ya Totenham Hospurs wakati wa tukio hilo na kusababisha mchezo kusimamishwa kwa dakika tano ili madaktari kumuhudumia mchezaji huyo.
Mechi hiyo ilikamilika ikiwa Totenham imeibuka kidedea kwa mabao 3-2
Raia huyo wa Ufaransa amekabiliwa na tatizo hilo mara kadhaa  ikiwemo mara tatu alipokuwa akiichezea kilabu ya Lyon mnamo mwaka 2009 na chengine wakati alipokuwa katika kambi ya mazoezi na, wasiwasi uliwazonga wachezaji wenzake katikati ya uwanja alipokuwa akipokea matibabu.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates