Pages

Saturday, 7 March 2015

SIMBA KUPATA UDHAMINI MNONO WA BILIONEA WA AFRIKA

Bilioni namba moja kwa vijana barani Afrika Mohammed Dewiji (Mo) anataraji kuingia makubaliano ya udhamini na timu anayo ipenda ya Simba SC wakati wowote kuanzia sasa.
Mohammed Dewji ambaye katika mwanzoni mwa miaka ya 2000 alipata kuidhamini Simba SC, anatarajia kutoa kiasi cha Tsh 500 milioni na Simba SC, baada ya miaka takribani 10 toka aidhamini Simba SC.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotufikia inaeleza kuwa udhamini huo unataraijiwa kuanza mwakani na utagharimu Tsh milioni 500.
SOURCE: SPORTS IN BONGO
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates