Pages

Sunday, 1 March 2015

LA LIGA -BARCELONA YASHINDA UGENINI 3-1 DHIDI YA GRANADA LEO LEO ATHLETICO NA REAL MADRID DIMBANI

Barcelona, wakicheza Ugenini huko Estadio Nuevo Los Carmenes, wameifunga Granada Bao 3-1 katika Mechi ya La Liga.
Bao za Barcelona zilifungwa na Ivan Rakitic, Dakika ya 25, na Luis Suarez, Dakika ya 48 lakini Granada wakapata Bao lao moja kwa Penati ya Dakika 53.
Lionel Messi alipiga msumari wa mwisho Dakika ya 70 na kuwapa Barcelona Bao 3-1 ambao umewafanya wawe Pointi 1 nyuma ya Vinara Real Madrid ambao wanacheza Jumapili wakiwa kwao Santiago Bernabeu na Villareal.
MECHI ZA LEO
Jumapili Machi 1
1400  Valencia C.F v Real Sociedad       
1900  SD Eibar v Athletic de Bilbao      
2100  Sevilla FC v Atletico de Madrid    
2300  Real Madrid CF v Villarreal CF 
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates