Pages

Sunday, 1 March 2015

STAND UNITED YAICHAPA KAGERA SUGAR 2-0 MCHEZO WA KIPORO

Baada ya mchezo kati ya Kagera sugar Stand United kushindwa kumalizika jana mchezo huo umemalizika leo huku Stand ikipata ushindi wa goli 2-0 na kujiongezea pointi tatu muhimu 

mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara imechezwa katika Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.


Mnigeria Chidiebere maarufu kama Chidi ndiye amefunga mabao yote mawili.

Chidi alifunga bao moja jana lakini mechi hiyo ikasimama katika dakika 80 kutokana na mvua kubwa na leo akmalizia goli moja 

Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates