Penati hiyo ilitolewa baada ya Kipa Ben Forster kuutema Mpira na kisha kumwangusha Mathew Lowton wakatia akiwania kuokoa.
Villa walitangulia kufunga kwa Bao la Gabriel Agbonlahor lakini WBA wakasawazisha kwa Bao la Saido Berahino.Ushindi huu umeing’oa Villa toka mkiani na kuipandisha sehemu salamu wakiwa Nafasi ya 17.
Katika Mechi nyingine mbili za Ligi zilizochezwa Jana, Hull City na Sunderland zilitoka Sare 1-1 na Southampton kuifunga Crystal Palace Bao 1-0.
Ligi Kuu England itaendelea tena Usiku huu kwa Mechi 7.
MECHI ZA LEO
2245 Man City v Leicester
2245 Newcastle v Man United
2245 QPR v Arsenal
2245 Stoke v Everton
2245 Tottenham v Swansea
2245 West Ham v Chelsea
2300 Liverpool v Burnley







0 comments:
Post a Comment