Pages

Wednesday, 4 March 2015

NDANDA FC YAIPIGA 2-1 RUVU SHOOTING, MTIBWA NAO WAREJESHA UHAI YAITANDIKA POLISI MORO 2-1, PRISON NA RUVU JKT SARE

Ndanda Fc ya mtwara imeitandika timu ya ruvu shooting magoli 2-1 katika mchezo uliochezwa uwanja wa mabatini mkoani pwani magoli ya ndanda yamefungwa na Jacob Masawe na omega Seme kwa matokeo hayo Ndanda imepanda hadi nafasi ya 7 ikiwa na pointi 22
Huko Manungu baada ya wakati mgumu wa kufungwa mfululizo hatimaye Mtibwa Sugar imerejea katika listi ya ushindi.
Mtibwa Sugar imeifunga Polisi Moro kwa mabao 2-1 katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Manungu mjini Turiani.
Polisi ndiyo walikuwa wa kwanza kuandika bao kupitia Said Bahanuzi katika dakika ya 41 likadumu hadi mapumziko.
Lakini kipindi cha pili kilikuwa cha Mtibwa Sugar ambayo ilifunga mabao yake kupitia Ali Shomari katika dakika ya 53 na Said Mkopi akamaliza kazi katika dakika ya 79.
Kwa ushindi huo, sasa Mtibwa Sugar imefanikiwa kufikisha pointi 22.
Katika uwanja wa chamazi coplex timu za Prison na Ruvu jkt stars zimetoka sare ya bila kufungana
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates