Pages

Wednesday, 4 March 2015

TETESI:MWAMUZI MWENYE BIFU NA YANGA MARTIN SANYA KUCHEZESHA MECHI YA SIMBA NA YANGA

Mechi ya Simba na Yanga imekuwa ikivuta hisia za mashabiki kwa nchi nzima na mara nyingi zimekuwa na changamoto nyingi baada ya kumalizika.
Taarifa za uhakika kutoka kwenye kamati ya waamuzi, zinasema kuwa Martin Saanya ambaye mashabiki wa Yanga haziivi, ndiye amepewa ‘rungu’ katika kesi hiyo, kama mwamuzi wa kati akisaidiwa na Idd Lila wa Dar es Salaam pamoja na Florentina Zabrone, kutoka Dodoma, wakati Israel Nkongo akisimama kama mwamuzi wa mezani.
Saanya bado mashabiki wa Yanga hawana imani naye tangu ashutumiwe kuwafanyia ndivyo sivyo katika mchezo na Coastal Union msimu wa 2012/13 , baada ya kuipa Coastal penalti dakika za mwisho kabisa, hali iliyosababisha vurugu kubwa na uharibifu wa mali.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates