Pages

Monday, 23 March 2015

UMEISIKIA TAARIFA YA KIFO CHA MCHEZA MIELEKA ISOME HAPA

Mcheza mieleka maarufu wa Mexico Hijo del Perro Aguayo ambaye amepoteza maisha wakati alipodondoka jukwani akiwa katikati ya mchezo ikiwa ni saa chache baada ya kukimbizwa hospitali.
Mwanamieleka huyo alikuwa akipigana na mwezake Rey Mysterio katika pambano lililofanyika ijumaa usiku na mara baada ya kudondoka alikimbizwa hospitali lakini madaktari walithibitisha kuwa tayari amefariki.
Wakati akiwa amedondoka chini wenzake hawakujua kiasi gani ameumia na kuendelea na mchezo na baada ya dakika zipatazo mbili waligundua kuwa amezidiwa hivyo kumuwahisha hospitali.
Hapa kuna video ikionyesha wakati pambano hilo linafanyika hadi mwana mieleka huyo alipopoteza  fahamu akiwa ulingoni.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates