Pages

Saturday, 11 April 2015

LIGI KUU TANZANIA NDANDA YASHINDWA KUTAMBA NYUMBANI YALAZIMISHWA SARE NA PRISON AZAM WABANWA NA MTIBWA, COAST UNION YASHINDA 2-0


LIGI KUU VODACOM iliendelea  kwenye Viwanja tofauti.
Ndanda wakicheza nyumbani nangwanda sijaona wameshindwa kutamba baada ya kutoka sare ya bila kufungana na Tanzania Prison
 Huko Manungu, Morogoro, Timu iliyoanza kwa kishindo na kuporomoka ghafla, Mtibwa Sugar imeitokka sare ya 1-1 na  Mabingwa Watetezi Azam FC katika Mechi muhimu mno kwa kila upande goli la Mtibwa lilifungwa na Mussa Mgosi na lile la azam likifungwa na Himid Mao
Azam FC, wanabaki Nafasi ya Pili, Pointi 5 nyuma ya Vinara Yanga, wanasaka ushindi ili kulitetea Taji lao lakini Mtibwa walioporomoka hadi mkiani Nafasi ya 12 wanawania kujinusuru kushuka Daraja.
COAST UNION
Mechi nyingine ya iliyokuwa na  mvuto ni ile ya  Coastal Union ambapo wakiwa ugenini leo wameitandika  Ruvu JKT. magoli 2-0 magoli yaliyofungwa na Ike Obinna na Rama Salim katika mchezo uliopigwa Azam Complex, Chamazi, Viunga vya Jiji la Dar es Salaam 
Siku ya Jumapili zipo Mechi mbili na Vinara wa Ligi Yanga wako Nyumbani Uwanja wa Taifa kucheza na Mbeya City ambayo iko Nafasi ya 7.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates