Pages

Sunday, 12 April 2015

WAKONGWE WA BARCELONA WAITANDIKA TAIFA STARS 2-1 KLUIVERT NYOTA YA MCHEZO

Kikosi cha wakongwe wa Barcelona kimeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya nyota wakongwe wa Tanzania katika mechi ya kirafiki iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.
Mshambuliaji Patrick Kluivert ndiye alikuwa shujaa baada ya kufunga mkwaju wa penalti wa bao la pili.

Kluivert alifunga mkwaju huo na kumuacha kipa Juma Kaseja akianguka kushoto kwake na mpira ukiingia kulia.
Barcelona walikuwa wa kwanza kufunga bao kupitia kwa Luis Garcia ambaye aliwachambua mabeki wa Tanzania wakongwe na kufunga.

Yusuf Macho ‘Musso’ akafunga baso safi la pili kwa shuti kali katika dakika ya 42. Mabao hayo yalidumu hadi mapumziko.
 Hadi dakika 90 zinamalizika Barcelona 2 Tanzania eleven 1
 
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates