Pages

Thursday, 9 April 2015

LISTI YA FIFA UBORA DUNIANI UJERUMANI YAONGOZA, TANZANIA YAPOROMOKA SASA NAFASI YA 107

FIFA Leo hii imetoa Listi ya Ubora Duniani kwa Nchi na Mabingwa wa Dunia Germany wameendelea kuwa juu wakifuatiwa na Argentina huku Tanzania ikishuka Nafasi 7 na kushika Nafasi ya 107.
Nchi ya juu kabisa kwa Afrika bado ni Algeria lakini imeporomoka Nafasi 3 na sasa ipo ya 21 ikifuatiwa na Ivory Coast ambayo pia imeshuka Nafasi 3 na ipo ya 23.
Nchi mpya kwenye 10 Bora ni Switzerland na Spain wakati France na Italy zimetoka huko.
Nayo Belgium imepanda Nafasi 1 na ni wa 3 baada ya kuchukua nafasi ya Colombia huku Brazil wakipanda moja wakiwa Nafasi ya 5.
England nao wanaisogelea 10 Bora baada kupanda Nafasi 3 na kushika Nafasi ya 14.
Listi nyingine ya Ubora itatolewa hapo Mei 7.
TIMU 10 BORA DUNIANI:
20 BORA:
1 Germany  
2 Argentina  
3 Belgium  
4 Colombia  
5 Brazil 
6 Netherlands 
7 Portugal  
8 Uruguay  
9 Switzerland 
10 Spain  
Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates