Pages

Monday, 6 April 2015

SIMBA WATAMU KAMA MCHARO WASHINDA 2-1 DHIDI YA KAGERA

Simba sc leo wamepata ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya kagera sugar katika mchezo wa ligi kuu ya vodacom uliomalizika katika uwanja wa kambarage shinyanga.
Simba ndio walikuwa wa kwanza kupata bao kunako dakika ya 49 kipindi cha pili kupitia kwa Ramadhan Singano kabla ya Kagera kusawazisha kupitia kwa Rashid Mandawa.Mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib aliipachikia timu hiyo goli la pili na la ushindi kwa mkwaju wa penati, Kufatia ushindi huo Simba inakuwa imefikisha pointi 35  baada ya kucheza michezo 21.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

IDADI YA WANAOTEMBELEA BLOG HII

Blog Archive

Recent Posts

Fashion

3/Fashion/big-col-right

Recent Posts

Header Ads

Followers

Powered By Blogger

Tags

Maoni

3/recent-comments

WASILIANA NASI

Popular Posts

Labels

Blog Archive

Blogger templates